ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
Gazeti maarufu la michezo lina Habari nyeti kuhusu rage kuwapigia magoti YANGA wakubali kufungika ili kupunguza gadhabu ya wanachama msimbazi aka mikia ambao wanatabia ya kung'oa viti vya uwanja na kupiga bakora viongozi wake. Hivyo Aden rage Ana deni YANGA kwa kumuokoa na bakora msimbazi...