MTIMBICHI
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 946
- 214
Habari za muda huu,
Najua wengi mmelala lakini mkiamka mnipe mawazo ya kumshauri rafiki yangu kwani anadai mpaka muda huu hajalala hata usingizi umeruka kisa mkewe pale kwake kaja mgeni ni wifi ya mke wake yani mke wa mdogo wa mkewe inadaiwa wifi kakorofishana na kaka huko sasa kakimbilia kwa wifi yake.
Mke wa jamaa yangu yapata mwezi wa tatu sasa na kinachoangaliwa zaidi ni mtoto mdogo wa huyo dada ambae ana tatizo na mme wake kilichompata rafiki yangu ni kumtongoza huyo wifi wa mkewe na huyo dada kakataa sasa rafiki yangu anaisi kukataliwa huko labda mkewe kaelezwa mana mkewe hayupo vizuri kama alivyomzoea.
Mkewe amekuwa ni mtu hana raha na anaonekana ana mawazo sana, rafiki yangu anamuuliza mkewe kuna nini anasema hakuna kitu.
Je inawezekana wifi kamwambia mke wa rafiki yangu hilo jambo au nini kimempata mana nyumba imekuwa haina amani ghafla.
Wanajf tumsaidie huyu jamaa kuna jambo gani hapo linaendelea na je akiwa kajua hilo majibu yake ni nini?
Najua wengi mmelala lakini mkiamka mnipe mawazo ya kumshauri rafiki yangu kwani anadai mpaka muda huu hajalala hata usingizi umeruka kisa mkewe pale kwake kaja mgeni ni wifi ya mke wake yani mke wa mdogo wa mkewe inadaiwa wifi kakorofishana na kaka huko sasa kakimbilia kwa wifi yake.
Mke wa jamaa yangu yapata mwezi wa tatu sasa na kinachoangaliwa zaidi ni mtoto mdogo wa huyo dada ambae ana tatizo na mme wake kilichompata rafiki yangu ni kumtongoza huyo wifi wa mkewe na huyo dada kakataa sasa rafiki yangu anaisi kukataliwa huko labda mkewe kaelezwa mana mkewe hayupo vizuri kama alivyomzoea.
Mkewe amekuwa ni mtu hana raha na anaonekana ana mawazo sana, rafiki yangu anamuuliza mkewe kuna nini anasema hakuna kitu.
Je inawezekana wifi kamwambia mke wa rafiki yangu hilo jambo au nini kimempata mana nyumba imekuwa haina amani ghafla.
Wanajf tumsaidie huyu jamaa kuna jambo gani hapo linaendelea na je akiwa kajua hilo majibu yake ni nini?