We si umesema ni mke wa mtu...???! sasa mbona unafuata fuata watu humu..., una hamu ya mgegedo au.., mbwa wewe...!
Gongo mbaya mkuu, we unajidanganya ni damu ya yesu, lkn andiko limekukataza.
Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu, litiapo bilauri rangi yake ishukapo taratibu; mwisho wake huumakama-nyoka; Huchoma kama f.ira. Macho yako yatakuwa mambo mageni; na moyo wako utatoa yaliyopotoka,Naam, utakuwakama-alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.-
Utasema,wamenichapa wala sikuumia, wamenipiga wala sina habari, Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.(Mithali 23:31-35).
Wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia, huota ndoto, hulala, hupenda usingizi. Naam, mbwa hao wana choyo-sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno, wote pia wamegeuka-upande, wazifuate njia zao wenyewe kila mmoja kwa faida yake toka pande zote. Husema, njooni nitaleta divai,na tunywe-sana-kileo na kesho itakuwa lama leo sikukuu kupita kiasi.(Isaya 56:10-12).