Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,800
- 168,217
Kama kamshtaki kwa mkewe bora, make asingemsema hata mi roho ingeuma
Umalaya huo.ana mke anatongoza wengne.mkewe kajua sasa...mxxxyuuuuuuu
Habari za muda huu,
Najua wengi mmelala lakini mkiamka mnipe mawazo ya kumshauri rafiki yangu kwani anadai mpaka muda huu hajalala hata usingizi umeruka kisa mkewe pale kwake kaja mgeni ni wifi ya mke wake yani mke wa mdogo wa mkewe inadaiwa wifi kakorofishana na kaka huko sasa kakimbilia kwa wifi
Em jifunze kuandika kwa koma na vituo... mkewe mgeni wifi mke wake mdogo wa mkewe wifi... duh! umenichekesha sana.... yani koma umeweka juu tu then full kuunganisha hueleweki
Daaaah kazi kwelikweli na wala hakuna swala la ndoa kuvunjika hapo chamsingi atoke out na mke wake huenda home anakuwa anahisi hayuko fresh kumuambia tatizo hakuna jambo linaloshindikana yote yanaongelewa na mambo yanarudi kama zamani watu wanakutwa kitandani uchi wanafanya yao na yanaongelewa yanaisha sembuse yeye hata masanga hajapiga
kweli jamaa ni ma*laya hana hata akili.
Hapo amezidiwa akili na hata paka mwizi kwasababu hawez kuiba nyumban