Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
umekuwa mkali sana mbona?
Hebu pumzika basi unywe maji kwanza ghadhabu ishuke.
Hebu pumzika basi unywe maji kwanza ghadhabu ishuke.
kwa vyovyote vile mna tabia zinazofanana
na ndo maana mkawa marafiki
sasa mungu ametafuta namna ya kukurudishia yote uliyowafanyia wengine.....
what goes around....comes around