Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Anajua kabisa yule alikuwa shemeji, tena hata kesi ndogondogo zilizotuhusu, niliziweka wazi kwake kwa ushauri na msaada wa mawazo.
Hata tuliposhindwana na huyu binti nilimshirikisha na kwakuwa nilishavumilia na kuchoka juu ya vitimbi nilivyoangushiwa na huyu binti, akaafikiana nami kuwa niachane naye.
Baada ya miezi kadhaa cha ajabu kinachonishangaza katika hii dunia ni kumuona huyu rafiki yangu akiwa karibu sana na huyu binti kwa kipindi hiki, dalili zinazoashiria kuna kitu kinaendelea namaanisha anamake love na huyu shemeji yake.
Nifanyeje jamani?
Kwani kaniharibia weekend yangu
Ahsante jigo
Hata tuliposhindwana na huyu binti nilimshirikisha na kwakuwa nilishavumilia na kuchoka juu ya vitimbi nilivyoangushiwa na huyu binti, akaafikiana nami kuwa niachane naye.
Baada ya miezi kadhaa cha ajabu kinachonishangaza katika hii dunia ni kumuona huyu rafiki yangu akiwa karibu sana na huyu binti kwa kipindi hiki, dalili zinazoashiria kuna kitu kinaendelea namaanisha anamake love na huyu shemeji yake.
Nifanyeje jamani?
Kwani kaniharibia weekend yangu
Ahsante jigo