HahahahaaaaaaaMimi nilishamwambia wife ikiwa nimembamba na mchepuko iwe kwa njia ya SMS, Fb au popote pale muda huohuo ndio mwisho wa ndoa yetu, simpigi. Wife ananiogopa kama ukoma. Huyo sasa ana mawazo ya nini huku mke kakimbia ndoa yeye mwenyewe?
Woga ni hisia ngumu sana kuigiza eti??