Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,700
- 9,778
Tumeshamuwekea vikao vya kutosha kumuuliza kwanini siku hizi kabadilika na kuwa na tabia ya kukimbia mbususu bila sababu?
Rafiki huyu ni kipanga wa aina yake. Siku za nyuma alikuwa akitumia vyema uanaume wake aliopewa na Mola. Ghetoni kwake zilikatisha papuchi za kila aina asubuhi na jioni. Hakuwa na kitu cha maana anachofanya zaidi ya kuzungumza na wanawake kwenye simu. Na wengine wamekuwa wakim offer bia, pesa n.k.
Hivi karibuni alianza kupoa ghafla, na ule ukipanga wake akaupoteza. Hii ni kwa kuwa tulitembea njia nzima kuelekea nyumbani, tulipishana na warembo wa kila rangi, lakini cha ajabu aliishia kuwapita hivi hivi tu! Ana mpenzi ambae anadai kuwa watakuja kuoana. Mzuri mashallah, chotara la kiarabu na Rwanda, refu, black beauty na tumacho kama tugoroli, bila kusahau kasauti kama ka celine Dion, na mbususu tamu na ya kuvutia iliyozungukwa na kiuno nyigu namba nane.
Cha ajabu kwa sasa ikutokea tumefanya ka party uchwara na kumualika, akagundua kuwa kutakuwa na uwepo wa mabinti anaowafahamu hawezi hudhuria. Hata yule chotara wake kwa sasa anakimbiwa, hataki hata kukutanisha naye macho! Amekuwa wa ovyo sana. Kuna kipindi tulimkutanisha na binti aliyekuwa anamuofa pesa na bia, cha ajabu walipoonana ana kwa ana, binti alicheka sana kisha rafiki yetu akatokomea mitini.
Ushauri tafadhari, tunaweza msaidia vipi huyu mwamba? Tumeshindwa tuanzie wapi wakuu!
Rafiki huyu ni kipanga wa aina yake. Siku za nyuma alikuwa akitumia vyema uanaume wake aliopewa na Mola. Ghetoni kwake zilikatisha papuchi za kila aina asubuhi na jioni. Hakuwa na kitu cha maana anachofanya zaidi ya kuzungumza na wanawake kwenye simu. Na wengine wamekuwa wakim offer bia, pesa n.k.
Hivi karibuni alianza kupoa ghafla, na ule ukipanga wake akaupoteza. Hii ni kwa kuwa tulitembea njia nzima kuelekea nyumbani, tulipishana na warembo wa kila rangi, lakini cha ajabu aliishia kuwapita hivi hivi tu! Ana mpenzi ambae anadai kuwa watakuja kuoana. Mzuri mashallah, chotara la kiarabu na Rwanda, refu, black beauty na tumacho kama tugoroli, bila kusahau kasauti kama ka celine Dion, na mbususu tamu na ya kuvutia iliyozungukwa na kiuno nyigu namba nane.
Cha ajabu kwa sasa ikutokea tumefanya ka party uchwara na kumualika, akagundua kuwa kutakuwa na uwepo wa mabinti anaowafahamu hawezi hudhuria. Hata yule chotara wake kwa sasa anakimbiwa, hataki hata kukutanisha naye macho! Amekuwa wa ovyo sana. Kuna kipindi tulimkutanisha na binti aliyekuwa anamuofa pesa na bia, cha ajabu walipoonana ana kwa ana, binti alicheka sana kisha rafiki yetu akatokomea mitini.
Ushauri tafadhari, tunaweza msaidia vipi huyu mwamba? Tumeshindwa tuanzie wapi wakuu!