Rafiki yangu anaumwa Fungus toka miaka mitatu iliyopita

Anyway abadilishe taulo, achukue lile la pamba linalonyonya maji vizuri, awe analifua na kulikausha vizuri juani,

Last
Kama yupo dar mwambie awe anaenda beach na kujitahid kuogelea japo nusu saa tu, akifanya hivyo mfululizo itakua vizuri Zaid


Mungu akimjaalia kupona mwambie asinisahau hata buku tu mi napokea
 
Habari madokta wa jamii.leo naomba kusaidia jambo Nina rafiki angu anaumwa sana fungus.

Imeanza miaka mitatu iliyopita,ulianzia kwenye korodani na Sasa Iko kwenye njia ya mkojo. Ametumia dawa nyingi sana na mbaya zaidi madaktari wamekuwa wengi na wamempa dawa nyingi na masindano ya kutosha kiufupi tatizo limekuwa chronic.

Anaomba msaa wa nn Cha kufanya kwani kwenye korodani bado zina msumbua na ndani ya uume zinamsumbua sana na muda mwingine hata uume wake unakuwa mwekundu.

Dawa alizotumia ninzokumbuka ni karibia zote zinazojulikana.ombi afanye nn au kama Kuna dawa ambayo ni ya kuaminika zaidi msaada plz
HIV kapima?
 
Anyway abadilishe taulo, achukue lile la pamba linalonyonya maji vizuri, awe analifua na kulikausha vizuri juani,

Last
Kama yupo dar mwambie awe anaenda beach na kujitahid kuogelea japo nusu saa tu, akifanya hivyo mfululizo itakua vizuri Zaid


Mungu akimjaalia kupona mwambie asinisahau hata buku tu mi napokea
Thanks
 
Bei gan hiz boss
Mkuu,
Inategemea itanunulia wap ? Na upo mkoa gani??

Kwa dar es salaam maduka ya jumla kariakoo utapata @7500 mpaka 8000

Pia hiyo shower to shower GEL unaweka kidogo kiganjani au kwenye dodoki unaanza kuoga..

Ukiweka nyingi utaoga ndoo nyingi otherwise use unaogea bomba la mvua..

Ni shower to shower GEL Ni nzuri Sana kuogea utapendeza..
 
Back
Top Bottom