the maze
Member
- Aug 14, 2015
- 40
- 23
Nina rafiki yangu wa kike nilisoma naye shule ya msingi. Hakufanikiwa kujiunga na masomo ya sekondari, hivyo akaamua kuolewa tu. Kutokana na changamoto mbalimbali, ndoa yake imevunjika mwaka jana. Sasa amekuja mjini kutafuta kazi yoyote halali. Naomba kama kuna mtu anaweza kumpa kazi ya kufanya/ kibarua chochote, tuwasiliane. PM kwa mawasiliano zaidi.
Umri: Miaka 28
Jinsia: Ke
Elimu: Darasa la saba
Anakoishi: Ukonga, Dar es Salaam
Yuko vizuri kiafya, mnyumbulifu, mwaminifu na ni mtunza muda mzuri.
Umri: Miaka 28
Jinsia: Ke
Elimu: Darasa la saba
Anakoishi: Ukonga, Dar es Salaam
Yuko vizuri kiafya, mnyumbulifu, mwaminifu na ni mtunza muda mzuri.