Rafiki yangu anamtongoza mpenzi wangu

Rafiki yangu anamtongoza mpenzi wangu

BongeMwepesi

Senior Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
125
Reaction score
83
Habari wana Jamvi,nina mpenzi ambaye tu wapenzi kwa muda sasa na tunatarajia kuoana soon,sasa nina rafiki yangu wa karibu tu ambaye pia tumeanzisha biashara pamoja .Sasa huyu rafiki yangu anamtongoza mpenzi wangu sikuweza kugundua hicho kitu mpaka mpenzi wangu aliponiambia sababu alianza mtongoza na huyu mpenzi wangu akamkatalia na kumtishia akiendelea ataniambia mimi,lakini rafiki yangu hakuelewa na mpenzi wangu akanambia na kuna siku alipiga simu mpenzi wangu akamuweka loudspeaker nikawa namsikia akimuambia mpenzi wangu mambo mengi ya uongo kuhusu mimi ikiwepo kuwa nina mahusiano na wapenzi wengine wengi na ni kitu sio cha kweli.Kwa kweli hasira kali zimenikamata na sijui nifanye ninikwa haraka nimefikiri kufuta ukaribu naye kabisa na nimuite nimuambie na kuanzia hapo urafiki ufike mwisho na pia kuacha kufanya nae hiyo biashara tumeanzisha pamoja maana Napata wasiwasi kama mtu anathubutu kutaka kukusaliti kwa kuwa na mahusiano na mpenzi wako basi hata anaweza kukusaliti au kukuuua kwenye biashara au pesa.....Naombeni tu ushauri wenu maana pia naona naweza fanya kitu kibaya kwake bure.
 
sasa ina maana swaiba wangu hajawaona hao mademu wengine mpaka mpenzi wa mimi rafiki yake ???
 
Mwambie demu akubali afu mwekee mtego tumfumue linda mkuu
 
Huyo mpenzi wako ulimtoa bikra au ulishakutwa kadinywa????.....ishi na mwanamke kwa akili na usipoangalia waweza kugombana na kila mtu mpaka wazaz wako!!!!
...ushauri mwingine unatia wasiwasi
 
mfuate umweleze usoni hivi....pachimbe....biashara ife....hakuna mtu anarusiwa kucheza na mapenzi yako ambayo umeyatengeneza mda mrefu....watu wengine vipi nyinyi.....pachimbe kiume ueweke heshima ya milele...
 
Wewe mweyewe mpaka muda huu umechukua hatua gani dhidi ya huyo rafiki yako
 
...ushauri mwingine unatia wasiwasi

Hakuna wasiwasi hapo.....achunguze kwa umakini juu ya swala hlo ili achukue maamuz,huyo binti ni mtu mzima.Je aliowakubali alikuja kusema???ukiona hivyo hajampenda.......awe makini ktk mambo ya mapenzi!!
 
ukisikiliza kila neno unaloambiwa na mwanamke utajikuta unaishi dunia ya kwako mwenyewe,,,,, hata maneno ya Mungu yanasema ishi na mwanamke kwa akili, anaweza kukuvuruga hapo ukaja juta,..... aliowakubalia amekwambia kwa nini huyo?,,, na je unajuaje yawezekana anataka ugombane na rafiki yako ilia apate nafasi nzuri ya kuonana nae?
na je unaweza thibitisha hayo anyosema huyo bidada? think beyond what you hear brother? their just words....
 
mmmmmh wanawake pasua kichwa sana bora niwe na nunua papuchi tu nikimaliza haja zangu hatutafutani
 
Mwanamke wa hivyo si wakuamini,hebu jiulize kama atakwambia kila atakaye mtongoza.

Kuwa makini anaweza kukugombanisha na kila mtu.
Sioni sababu ya kukwambia kama ana uwezo wa kumkataa.
 
Mwanamke wa hivyo si wakuamini,hebu jiulize kama atakwambia kila atakaye mtongoza.

Kuwa makini anaweza kukugombanisha na kila mtu.
Sioni sababu ya kukwambia kama ana uwezo wa kumkataa.

Nmeyasema mimi.........watu tunaona mbaliiiii!!!!
 
ukisikiliza kila neno unaloambiwa na mwanamke utajikuta unaishi dunia ya kwako mwenyewe,,,,, hata maneno ya Mungu yanasema ishi na mwanamke kwa akili, anaweza kukuvuruga hapo ukaja juta,..... aliowakubalia amekwambia kwa nini huyo?,,, na je unajuaje yawezekana anataka ugombane na rafiki yako ilia apate nafasi nzuri ya kuonana nae?
na je unaweza thibitisha hayo anyosema huyo bidada? think beyond what you hear brother? their just words....

Ukute anataka biashara afanye yeye na bwana ake......sasa hyo ni sababu yakumgombanisha!!!!!
Kuna wimbo unaitwa "siku hizi hawalali"
 
Haya maneno walinena wazee wazamaniiiiiiiii..... Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani
 
Ukute anataka biashara afanye yeye na bwana ake......sasa hyo ni sababu yakumgombanisha!!!!!
Kuna wimbo unaitwa "siku hizi hawalali"

Tena kama ni wa kule nako toka aangalie vizuri la sivyo na yeye kapuni biashara bidada anamiliki....
 
Back
Top Bottom