Rafiki yangu anamkimbia mkewe(Ushauri Plz)

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
Salam Wana JF
Kuna rafiki yangu wa karibu ambaye tumeshibana sana, toka ameoa sasa ni mwezi wa 5 , Jana nilikuwa naye akanieleza matatizo anayoyapata toka kwa mkewe. Aliniambia kuwa anajitahdi sana kumridhisha mkewe kwa tendo la ndoa, lakini huyu mke wake amekuwa akitaka sana mchezo kuzidi uwezo wake.
Kila mara mkewe anataka. Akikaa kuangalia tv sitting room mkewe huwa anamvutia chumbani na kumtaka ampe raha, Akimwambia amechoka, mkewe huwa analalamika sana, mara nyingine hulalamika kwa sauti kubwa mpaka rafiki yangu anahofia majirani wasije kusikia. Sasa hili jambo limekuwa kero mpaka siku hizi amebuni safari za mikoani na kumdanganya mkewe anasafiri kikazi ili aepukane na balaa la nyumbani. Kiukweli huwa haendi mikoani bali anakwenda gest kulala mpaka akijisikia ndio anarudi nyumbani na kuzuga anatoka mkoani.
Ameniomba nimpe ushauri afanye nini ili aweze kusolve hili tatizo, Wana Jf nimekuja kwenu kupata ushauri wenu ili niweze kumsaidia
 
Super shaft is highly recomended.. Daaah huyo shemeji ni waukwe'ehn.. Mbona raha duniani humu
 
duh! kwenye miti hakuna wajenzi sasa akiaga safari za mikoani ndio anamuachia mwenzie aingizwe ndani au akiaga safari
ndio itakua hivyo maisha anaaga safari? kama uwezo mdogo aongeze kiwango,mwanamke hataki pesa wala nini anataka mapenzi duh yani ingekua kuna kuazimana huyo mkewe ningemuazima huyu wangu mie japo kwa masaa...
 
Aisee mke wako lazima atatoka nje na atampata mtu wa kumfikisha, miezi mitano tu, jamaa amechoka nilidhani ni miaka kadhaa wakiwa na watoto.

Mwambie apunguze kula vyakula ambavyo havimpi ashike, ale, mfano, korosho, karanga mbichi, na vingine pia aweke ratiba ya kufanyakazi vizuri, wabongo we work hard bila ratiba tunasahau majukumu mengine ya family.

Nawasilisha
 
Kukimbia tatizo si njia muafaka ya kusolve tatizo, dawa ya kusolve tatizo ni kupambana nalo. Inaonyesha hiyo ndoa bado ni changa na ni kawaida kwa ndoa changa wahusika/mmoja wa wahusika kuwa na kiu ya huduma ya mara kwa mara. Sioni kama ni tatizo sana mke kuhitaji huduma ya mara kwa mara, ila kuna namna ya kumfanya apunguze speed yake hiyo kama inakushinda.

Cha msingi, jenga mazingira ya kumtafutia kazi/shughuli za kumfanya bize muda mwingi ili awe anachoka na pia mshauri apate muda wa kufanya mazoezi mara kwa mara. Pata muda wa kukaa naye na kuongea na nakushauriana mipango ya baadaye ya maisha yenu.

Usimuache muda mwingi pekee yake maana kwa kufanya hivyo unamjengea mazingira ya KUKUMISS zaidi na zaidi na kutamani kushiriki hilo tendo kila akikuona. Na hii ndiyo sababu iliyofanya mpango wako wa kukaa guest ufeli maana ni kama unajipalia makali ya moto kwa kujiweka mbali naye.

Kumbuka pia ushirikiano wako na yeye ndiyo utakaomfanya azidi kujenga mazingira ya kukupenda na kukuzoea na kuliona hilo tendo kuwa ni jambo la kawaida na linaweza kutolewa kwa taratibu mlizojiwekea. Na la mwisho, endelea kujituma aisee kunako yale mambo.

Kila la kheri,

HorseP.
 
hiz ndo zileeee tendo la ndoa mpk ndoa madhara ndo hayo...hili kweli zito,niwaachie wenyewe wacomment
 
Huyo anapaswa kujitahidi kumridhisha, hilo ni suala la muda tu baada ya muda atazoea na kupunguza. Mwambie kumkimbia mwenzake anajenga mazingira ya kumfanya mwenzake kupata mtu mwingine. Yeye akabiliane na hilo kwa namna yoyote asikubali kushindwa. Na huyo mke hana wa kumkimbilia ikiwa anataka raha ni yeye tu ambaye ni mumewe hivyo anafanya vibaya sana kupanga safari za uongo
 
Mwambie akazane kula mboga mboga za majani na ugali wa muhogo atakuwa na nguvu nyingi.
Akishindwa anunu kifaru
 
Kukimbia tatizo si njia muafaka ya kusolve tatizo, dawa ya kusolve tatizo ni kupambana nalo. Inaonyesha hiyo ndoa bado ni changa na ni kawaida kwa ndoa changa wahusika/mmoja wa wahusika kuwa na kiu ya huduma ya mara kwa mara. Sioni kama ni tatizo sana mke kuhitaji huduma ya mara kwa mara, ila kuna namna ya kumfanya apunguze speed yake hiyo kama inakushinda.

Cha msingi, jenga mazingira ya kumtafutia kazi/shughuli za kumfanya bize muda mwingi ili awe anachoka na pia mshauri apate muda wa kufanya mazoezi mara kwa mara. Pata muda wa kukaa naye na kuongea na nakushauriana mipango ya baadaye ya maisha yenu.

Usimuache muda mwingi pekee yake maana kwa kufanya hivyo unamjengea mazingira ya KUKUMISS zaidi na zaidi na kutamani kushiriki hilo tendo kila akikuona. Na hii ndiyo sababu iliyofanya mpango wako wa kukaa guest ufeli maana ni kama unajipalia makali ya moto kwa kujiweka mbali naye.

Kumbuka pia ushirikiano wako na yeye ndiyo utakaomfanya azidi kujenga mazingira ya kukupenda na kukuzoea na kuliona hilo tendo kuwa ni jambo la kawaida na linaweza kutolewa kwa taratibu mlizojiwekea. Na la mwisho, endelea kujituma aisee kunako yale mambo.

Kila la kheri,

HorseP.

Mkuu HP......nimependa sana sana sana ushauri wako, nitaufanyia kazi
 
Ni rafiki au wewe??humu jf watu hatusemi kama matatizo tunayo sisi,mara zote ni ya marafiki,ndugu na jamaa duh...hata hivyo mtafutie kazi ya kufanya mkeo kama ni mama wa nyumbani ambayo itamuweka bize na kumchosha...
 
Kamanda hebu tuweke waz, mwenye shida ni ww au rafik yako? manake kwa jibu hili hakuna shaka mhusika ni WEWE.

Mi nafikiri tufike wakati tuwe wa kweli ili mtu aweze kutusaidia, kama kuna tatatizo kwa nn umpakazie rafiki yako?

Kweli kabisa naapa kwa dini zote sio mimi, ni rafiki yangu, siwezi kabisa kusingizia
 
Cha msingi, jenga mazingira ya kumtafutia kazi/shughuli za kumfanya bize muda mwingi ili awe anachoka na pia mshauri apate muda wa kufanya mazoezi mara kwa mara. Pata muda wa kukaa naye na kuongea na nakushauriana mipango ya baadaye ya maisha yenu.

.

Hahahaha amfungulie Kijiwe cha kufyetua Tofali na awe mmoja wa wale wanaofanya kazi akirudi home hatotamani hata kusikia hiyo kitu
 
Salam Wana JF
Kuna rafiki yangu wa karibu ambaye tumeshibana sana, toka ameoa sasa ni mwezi wa 5 , Jana nilikuwa naye akanieleza matatizo anayoyapata toka kwa mkewe. Aliniambia kuwa anajitahdi sana kumridhisha mkewe kwa tendo la ndoa, lakini huyu mke wake amekuwa akitaka sana mchezo kuzidi uwezo wake.
Kila mara mkewe anataka. Akikaa kuangalia tv sitting room mkewe huwa anamvutia chumbani na kumtaka ampe raha, Akimjwambia amechoka, mkewe huwa analalamika sana, mara nyingine hulalamika kwa sauti kubwa mpaka rafiki yangu anahofia majirani wasije kusikia. Sasa hili jambo limekuwa kero mpaka siku hizi amebuni safari za mikoani na kumdanganya mkewe anasafiri kikazi ili aepukane na balaa la nyumbani. Kiukweli huwa haendi mikoani bali anakwenda gest kulala mpaka akijisikia ndio anarudi nyumbani na kuzuga anatoka mkoani.
Ameniomba nimpe ushauri afanye nini ili aweze kusolve hili tatizo, Wana Jf nimekuja kwenu kupata ushauri wenu ili niweze kumsaidia




Atafute msaidizi kama vipi; akichoka jamaa anamsaidia kumliwaza my wife wake
 
Kamanda hebu tuweke waz, mwenye shida ni ww au rafik yako? manake kwa jibu hili hakuna shaka mhusika ni WEWE.

Mi nafikiri tufike wakati tuwe wa kweli ili mtu aweze kutusaidia, kama kuna tatatizo kwa nn umpakazie rafiki yako?

ha ha haaaa
 
Tendo la Ndoa ndo Ndoa yenyewe! Mwanamke Kama huyo hawezi kuwa mwaminifu, ajiulize tu kabla hajamuoa nani alikua anamridhisha, na anaposafiri na kumkimbia kuna wakware wanamla pengine Hata wewe ni Mmoja wao, huyo Mwanamke Ana pepo amuache kabla ya saa 9 Leo hakuna cha kuvumilia hapo.

Salam Wana JF
Kuna rafiki yangu wa karibu ambaye tumeshibana sana, toka ameoa sasa ni mwezi wa 5 , Jana nilikuwa naye akanieleza matatizo anayoyapata toka kwa mkewe. Aliniambia kuwa anajitahdi sana kumridhisha mkewe kwa tendo la ndoa, lakini huyu mke wake amekuwa akitaka sana mchezo kuzidi uwezo wake.
Kila mara mkewe anataka. Akikaa kuangalia tv sitting room mkewe huwa anamvutia chumbani na kumtaka ampe raha, Akimjwambia amechoka, mkewe huwa analalamika sana, mara nyingine hulalamika kwa sauti kubwa mpaka rafiki yangu anahofia majirani wasije kusikia. Sasa hili jambo limekuwa kero mpaka siku hizi amebuni safari za mikoani na kumdanganya mkewe anasafiri kikazi ili aepukane na balaa la nyumbani. Kiukweli huwa haendi mikoani bali anakwenda gest kulala mpaka akijisikia ndio anarudi nyumbani na kuzuga anatoka mkoani.
Ameniomba nimpe ushauri afanye nini ili aweze kusolve hili tatizo, Wana Jf nimekuja kwenu kupata ushauri wenu ili niweze kumsaidia
 
Huyo mwanamke chiboko!!kha. .......
huyo mwanamke kabila gani?
MP.
 
Back
Top Bottom