Pole kwa kuishi kwa shemeji mkuu
Nina rafiki yangu ambaye amemuoa mtoto wa shangazi yangu lakini cha ajabu mke wake alimleta mdogo wake juzi kati rafiki yangu akamuhadaha kwa pesa na nimewafumania usiku was manane chooni wakilimega tunda la Adam.
Sasa najiuliza huyu jamaa anaitakia ndoa yake mema kweli?
Wanawake wote hapa mjini hadi utembee na shemeji yako.
Hii ni sawa kweli?
Nina rafiki yangu ambaye amemuoa mtoto wa shangazi yangu lakini cha ajabu mke wake alimleta mdogo wake juzi kati rafiki yangu akamuhadaha kwa pesa na nimewafumania usiku was manane chooni wakilimega tunda la Adam.
Sasa najiuliza huyu jamaa anaitakia ndoa yake mema kweli?
Wanawake wote hapa mjini hadi utembee na shemeji yako.
Hii ni sawa kweli?
Huyo jamaa hajielewi hivi inakiwaje unachanganya ndugu ili iweje sasa