Rafiki yangu ametembea na shemeji yake

Rafiki yangu ametembea na shemeji yake

Usiku wa manane unakaa nao??
kwa iyo ndugu zako wawili wamemegwa na mwana?
 
wewe usiku wa manane ulikuwa unatafuta nini??,,,subiri na wewe ung'atwe pumba kabisa wewe....
 
Nina rafiki yangu ambaye amemuoa mtoto wa shangazi yangu lakini cha ajabu mke wake alimleta mdogo wake juzi kati rafiki yangu akamuhadaha kwa pesa na nimewafumania usiku was manane chooni wakilimega tunda la Adam.

Sasa najiuliza huyu jamaa anaitakia ndoa yake mema kweli?

Wanawake wote hapa mjini hadi utembee na shemeji yako.

Hii ni sawa kweli?

Wewe umejuaje kaadaiwa na pesa?
 
Ukiskia umbea ndio huu. Sasa dada yako hajui,ila ww umekimbia hadi JF kuleta habari.
 
Nina rafiki yangu ambaye amemuoa mtoto wa shangazi yangu lakini cha ajabu mke wake alimleta mdogo wake juzi kati rafiki yangu akamuhadaha kwa pesa na nimewafumania usiku was manane chooni wakilimega tunda la Adam.

Sasa najiuliza huyu jamaa anaitakia ndoa yake mema kweli?

Wanawake wote hapa mjini hadi utembee na shemeji yako.

Hii ni sawa kweli?

....sasa kama wamekubaliana, shida yako nn! acha wivu wa kijinga
 
Siku huyo dadako akiwa anapigwa na shemeji yako utakuwa unamtete nan mkuu ???
 
Back
Top Bottom