ndingi mwana nzeki
Member
- May 18, 2015
- 83
- 95
Juzi jumanne baada ya Dk slaa kuongea, jioni yake nilipitiliza moja kwa moja Bar kutokana na kuchanganyikiwa, hiyo ilikua ni baada ya kutoka kazini jioni.
Tulikua wakereketwa wawili tulioamua kwenda bar Ku digest that day's chain of events, mimi na Dada na mmoja tupo pamoja hapo kazini, tukawa tunakunywa hapo mimi na huyo binti. Baadae Rafiki yangu wa karibu akatujoini tukaendelea kunywa hadi saa mbili usiku tukatawanyika, jamaa akaondoka mwenyewe, mimi nikaenda na binti nikamshusha kwake.
Nashangaa nilipofika home wife kakasirika ile mbaya kwamba nilikua na mwanamke bar na baadae nikaenda nae gesti, nikajaribu kumwelewesha kuwa ni kweli nilikua bar na tulikua na work mate kwa maongezi ya kawaida tu, mwisho akanielewa yakaisha, ingawa nililazaimika kumuomba baba yangu mkubwa tunaeishi nae hapo nyumbani kutusuluhisha na kwa msaada wake jana jambo hilo limeisha.
Ndipo nikajaribu kumdodosa wife umejuaje kuwa nilikua bar flan na mtu flani, akasema Rafiki yangu niliyekua nakunywa nae ndio alimtumia msg baada ya sisi kuondoka, na wife akanionesha hiyo whatsaap msg nikashangaa sana, mshkaji wangu anawezaje kunifanyia hivyo, ina maana yeye jamaa alidhani yule binti ni bibi yangu? Kwa nini hakuniuliza?
Leo asubuhi nimempigia simu kumtega tu, nikamuuliza kwa mawazo yako unadhani nani kamweleza wife kuwa nilikua bar na mwanamke? Akajifanya kushangaa na kumlaani huyo mtu aliyefanya kitendo hicho.
Wadau nimfanyeje huyu mtu?
Huyu jamaa ni family friend, Nina namba ya mkewe na yeye ana ya mke wangu, na huwa tunashirikiana vitu vingi.
Sasa wadau huu ni ungwana kweli? Alikua na lengo gani hasa? Au anataka na mimi ndoa yangu ivurugike kama yake maana ni juzi tu wamepatana na mwenzie baada ya yeye kushikwa live na mkewe akiwa na bibi mwingine!
Yaani ameniudhi sana, mtu bado tunahangaika na haya ya Dk slaa kuasi halafa anataka kunifitinisha na wife, nonsense!
Tulikua wakereketwa wawili tulioamua kwenda bar Ku digest that day's chain of events, mimi na Dada na mmoja tupo pamoja hapo kazini, tukawa tunakunywa hapo mimi na huyo binti. Baadae Rafiki yangu wa karibu akatujoini tukaendelea kunywa hadi saa mbili usiku tukatawanyika, jamaa akaondoka mwenyewe, mimi nikaenda na binti nikamshusha kwake.
Nashangaa nilipofika home wife kakasirika ile mbaya kwamba nilikua na mwanamke bar na baadae nikaenda nae gesti, nikajaribu kumwelewesha kuwa ni kweli nilikua bar na tulikua na work mate kwa maongezi ya kawaida tu, mwisho akanielewa yakaisha, ingawa nililazaimika kumuomba baba yangu mkubwa tunaeishi nae hapo nyumbani kutusuluhisha na kwa msaada wake jana jambo hilo limeisha.
Ndipo nikajaribu kumdodosa wife umejuaje kuwa nilikua bar flan na mtu flani, akasema Rafiki yangu niliyekua nakunywa nae ndio alimtumia msg baada ya sisi kuondoka, na wife akanionesha hiyo whatsaap msg nikashangaa sana, mshkaji wangu anawezaje kunifanyia hivyo, ina maana yeye jamaa alidhani yule binti ni bibi yangu? Kwa nini hakuniuliza?
Leo asubuhi nimempigia simu kumtega tu, nikamuuliza kwa mawazo yako unadhani nani kamweleza wife kuwa nilikua bar na mwanamke? Akajifanya kushangaa na kumlaani huyo mtu aliyefanya kitendo hicho.
Wadau nimfanyeje huyu mtu?
Huyu jamaa ni family friend, Nina namba ya mkewe na yeye ana ya mke wangu, na huwa tunashirikiana vitu vingi.
Sasa wadau huu ni ungwana kweli? Alikua na lengo gani hasa? Au anataka na mimi ndoa yangu ivurugike kama yake maana ni juzi tu wamepatana na mwenzie baada ya yeye kushikwa live na mkewe akiwa na bibi mwingine!
Yaani ameniudhi sana, mtu bado tunahangaika na haya ya Dk slaa kuasi halafa anataka kunifitinisha na wife, nonsense!