Rafiki yako kuingiza malaya getho kwako

Rafiki yako kuingiza malaya getho kwako

Kind

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
247
Reaction score
40
Mfano u kijana mfanya kazi umepanga chumba kimoja. Anakuja friend wako anaomba hifadhi kwa muda. Siku moja ukiwa umelala umechoka rafiki yako katikati ya usiku anakuja na malaya wale wanao jiuza anaomba umpishe uende kwa jirani ili azini nae. Niambie kama ni wewe utafanyaje?
 
Mfano u kijana mfanya kazi umepanga chumba kimoja. Anakuja friend wako anaomba hifadhi kwa muda. Siku moja ukiwa umelala umechoka rafiki yako katikati ya usiku anakuja na malaya wale wanao jiuza anaomba umpishe uende kwa jirani ili azini nae. Niambie kama ni wewe utafanyaje?

Haya mambo wanafanya wanafunzi.......
 
ha ha ha ha ha ha ha inaonekana we ni mwanafunzi
 
Namfukuza usiku huo huo akalale na huyo malaya anakojua!! Usituambie hapa kama ulimpisha!! Kama ulifanya hivyo wewe ni janga la Taifa! Chumba chako halafu anakuomba umpishe?? Haieleweki hapa!!!! Achana nae kabisa huyo si rafiki mzuri.
Mfano u kijana mfanya kazi umepanga chumba kimoja. Anakuja friend wako anaomba hifadhi kwa muda. Siku moja ukiwa umelala umechoka rafiki yako katikati ya usiku anakuja na malaya wale wanao jiuza anaomba umpishe uende kwa jirani ili azini nae. Niambie kama ni wewe utafanyaje?
 
Mfano u kijana mfanya kazi umepanga chumba kimoja. Anakuja friend wako anaomba hifadhi kwa muda. Siku moja ukiwa umelala umechoka rafiki yako katikati ya usiku anakuja na malaya wale wanao jiuza anaomba umpishe uende kwa jirani ili azini nae. Niambie kama ni wewe utafanyaje?

Wewe ni mwanafunzi? Kama si mwanafunzi ni mtu mzima unajitegemea UJUE HICHO NDICHO KIPIMO CHA HESHIMA YAKO MTAANI!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom