Mwingine anataka anayejua kiingereza, mwingine anataka aliyefaulu PCB, mbona tunaloo
Hahaaa tutakoma tusio soma na kujua vingereza
Twende tu english course hata kwa Ras Simba, bila hivyo mmmh
Mwingine anataka anayejua kiingereza, mwingine anataka aliyefaulu PCB, mbona tunaloo
wanawake wavumilivu, wenye upendo, huruma na hofu ya mungu cku hizi hawana soko (kwa wanaume wasio na malengo). Wasomi ndo habari ya mujini