Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Hiyo comment unaipotezea lkn ilikuwa muhimu sn tuanzie hapo ina maana yupo mwengine pia ulikuwa unampa penzi wakati upo na babu sbb huyo kijana hajawahi kuionja hiyo kitu.
Huyu babu hata sijawah msaliti coz kila kitu nilikua napata.. kila idara yuko vema. Si unajua wengine ni natural given[emoji28] [emoji28]
 
Sorry kama nitakuboa you can take or leave it, sijui nianzie wapi? Huyu Mr. X ulianzaje kumpenda to start with..., na hali ukijua ana mke na watoto.? Ni ushawishi wa pesa (maisha), he is handsome, good in bed or something? USHAURI: Kabla ya ku- plan how to abandon this guy, nakuomba rudi mlilie Mungu akupe direction nzuri. Mind you! God won't show up directly to you and tell what to do. Ni sisi hao hao tunaokushauri namna ya kwenda. Umesema huyo mbabu una mwaka naye sasa.... Bado hai justify kukumiliki kwa namna yoyote if you don't have feeling or future with him. Please, kwa choices zako zote mbili haupo sahihi kwa kuwa umeacha mwili ukuongoze uamue cha kufanya. Frankly speaking, unaweza sema huyu kijana ndio anakufaa kwa sasa eti kwa sababu hajakuomba papuchi bado. No no no... hiyo bado haitoshi. You must connect in spirit and pray hard to God.... Hope you know what I'm saying. Ngoja niishie hapo at least for now....
 
na uzee waja kasi shoga weee.. na mzee akikuona umekuwa mzee mwenzie anakuweka kando anavuta kabinti kabichi kingine wakati huo kakuacha vyema sana kakuachia kamtoto na kanyumba nadni ya miaka kumi hakina hadhi tena ..
Yaani we acha tu.
 
Olewa tu dada, ila naomba ukishaolewa uwe mchepuko wangu
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
WOMEN DONT THINK AND WHEN THEY THINK THEY DONT MAKE GOOD DECISION MOST OF THE TIME.......................LIFE GOES ON
 
Kwenye ndoa wengi tunakimbilia tu kuangalia kama mwenza anafaa au hafai.

Lakini huwa tunajipima kama sie tunamfaa huyo mtu? Ukiangalia utayari wetu.. Hapo uko kwenye mkakati wa ndoa halafu babu bado umeng'ang'ana naye.

Je si linatoa picha ya mke utakayekuwa?

Ni wazi huko mbele kutakuwa na shida tena ambayo chanzo chake ni wewe.

Msingi mbovu nyumba mbovu. Na si vinginevyo.
 
My dear,huyu kijana naona like he come from God..mungu alisema ombeni lolote kwa jina langu ntawapa. I prayed Na naona he is mine at all.nimepata kile nilichokua naomba kwa mungu wangu.swala la kutubu it's OK,ila naona kama ndie chaguo langu. Na mungu amesema ntakupa wa kufanana nae. 85% kanifanana but still naomba kama he is the one ntkuja kurejesha matokeo ya ndoa hapa hapa JF in God I trust yo
 
Sijamng'ang'ania babu, ndo mana nikaomba mnipe tecs za kumwambia kinachoendelea.vinginevyo nisingejichoresha humu kama eti natembea Na mme wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…