Blaine
JF-Expert Member
- Jan 11, 2012
- 2,275
- 1,655
Last edited by a moderator:
time constraints, sipendi kuendesha usiku, soo 8pm ndio limit yangu.Duuh...kazi ipo. Mimi ninayekaa tandale itakuwaje?
time constraints, sipendi kuendesha usiku, soo 8pm ndio limit yangu, unless u're really good au unajua iliyoko karibu. siwezi kwenda tandale 5/week for gym :<miye vigezo vyote ninavyo ila tu makazi siish huko ....................
time constraints, sipendi kuendesha usiku, soo 8pm ndio limit yangu.
time constraints, sipendi kuendesha usiku, soo 8pm ndio limit yangu, unless u're really good au unajua iliyoko karibu. siwezi kwenda tandale 5/week for gym :<
haya basi dada gfsonwin dada ntabadilisha vigezo, pia mimi sio geti kalisasa Blaine kila mtu si ana gari lake? ama wewe wataka lift? manake pengine ndicho ambacho hukuiweka sawa hapa. miye nakaa kibaha na na drive hata usiku wa manane ila kama wewe ni geti kali saa 12 unaingia home sina shaka miye mda huo nitaanza safari ya kurudi kwangu ama? acha kubana mkuu
sijazoea driving usiku, tutapiga story usijali. najaribu kuongeza marafiki, nilidhani labda wengine hawapendi night driving kama mie.Sasa time constrain inahusikaje na umesema awe na usafiri binafsi? Manake mkitoka gym, mkapiga story si kila mtu na lwake? Mie nakaa kisarawe bwana, usinibanie! Karibia nasahau kuongea kiswahili fasaha.
teh Teh teh...gfsonwin....lazima nipigane maana huwezi kujua bwana. Inaweza ikawa ndio njia mbadala ya kukata kilo kadhaa kwenye tumbo langu.
hii ofa ni ya friends 'without' benefits lol. just regular i think, kujilipia gym sio tatizo, financially niko stable, naweza kutoa ofa ya lunch nikiwa nina mood nzuri lakini sio kawaida. naepuka marafiki wa ofaNafikiria nikikubali what are the benefits ya friendship hii......just chatting, nijilipie gym, niunguze mafuter 5x a week. Mmmmhh
IST ya masaki au ipi?? ni wazo zuri pia, ongeza info tafadhali :>ha ha ha ha ! na huyu ndiye rafiki sio wale wakusema tukanywe ma pombe na manyama choma. miye natafuta wa kwenda naye swin class pale IST ni safi sana and quite exciting.
ha ha ha ha ! na huyu ndiye rafiki sio wale wakusema tukanywe ma pombe na manyama choma. miye natafuta wa kwenda naye swin class pale IST ni safi sana and quite exciting.
hii ofa ni ya friends 'without' benefits lol. just regular i think, kujilipia gym sio tatizo, financially niko stable, naweza kutoa ofa ya lunch nikiwa nina mood nzuri lakini sio kawaida. naepuka marafiki wa ofa
IST ya masaki au ipi?? ni wazo zuri pia, ongeza info tafadhali :>
you are welcomeAsante kwa kuzingatia ushauri mkuu
naepuka rafiki kusema ' ahh! huyu nae, siku zote hizi hata ofa ya lunch/out hajanipa'. sina mood swings hivyo usiwe na mashakaBwana wewe mbona unanivunja mbavu hapa! Kumbe huwa unaendesha mambo kwa mood! Ila seriously ni mtu poa kutafuta marafiki wa kufanya kitu cha maana
Nafikiria nikikubali what are the benefits ya friendship hii......just chatting, nijilipie gym, niunguze mafuter 5x a week. Mmmmhh
IST kuna madarasa ya swimming muda gani? Na ni kiasi gani? Swimming ni moja ya mazoezi mazuri kweli....ila bora umegundua aina ya marafiki....halafu ni kuongea gym tu!