Rafiki, mchumba, mume/mke

Rafiki, mchumba, mume/mke

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,382
Habarini somo husika,unapokuwa unatafuta rafiki wa kuchati au kubadilishana mawazo kibiashara kwanini mnaenda outside of topic after PM.

Na mnaotafta wachumba kwanini hamfatilii taratibu za uchumba eidha miaka miwil kwa kufahamiana ndo ndoa Mke/mme mnaotafuta, kwanini hamjaonana na mawasiliano yenu ni PM kwa wiki tu alafu unataka mfunge ndoa.
 
Ukisikia uwiii ujue jiwe limepiga mtu
 
Hunyu

Ha ha ha haaa! Haswa tena kaumia vibaya.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom