Najaribu kufikiria kuwa si ina maana lazima atafeel insecurity fulani maana kila akiniona anajua kuwa nimeshamrukia mkewe na naweza kuendelea kumrukia anytime.
Pole sana,
Nahisi mliachana ukiwa bado unampenda,
Jitahidi kuwapotezea tu but huyo rafiki yako naye mmmmhhhh!!!!
Niliwahi soma hii:
I don't feel jelous when I seem my BF with another gal, my mom taught me about leaving my old toys to the less fortunate kids
Achana nao, omba Mungu usigeuke miserable halafu wakawa na couple ya mfano, utajuuuuuta kumuacha!
Dah!asa km mwenzio hilo hakuliona wala kulijali kwann ww uhangaike naye?Hapa tatizo ni mshikaji tu, ingekuwa mtu mwingine mbona rahisi kupotezea, ni mtu ambaye uswahiba wetu hauwezi kufa kwa ajili ya mwanamke, sijui tutakuwa tanatazamana vipi.
Najaribu kufikiria kuwa si ina maana lazima atafeel insecurity fulani maana kila akiniona anajua kuwa nimeshamrukia mkewe na naweza kuendelea kumrukia anytime.
Wadau nina rafiki yangu mkubwa sana ambaye nimejua kuwa kwa sasa anatoka na aliyekuwa girlfriend wangu ingawaje wenyewe wanafanya siri sana.,hii imekaaje?.,inamaanisha kuwa hata enzi zile mapenzi yalipokuwa motomoto jamaa alikuwa akimtamani kama vile fisi anavyosubiri kwa hamu simba amalize kula nyama ili aibuke na mifupa?[/QUOTE
PERFECT SUBSTITUTION! Take it easy, ukisema cha nini hiki wenzio wakitamani ati. Acha wivu yawezekana anapata cha ziada kwa mshkaji. past is past just move on and let them enjoy.
I real like this, say it again..Niliwahi soma hii:
I don't feel jelous when I seem my BF with another gal, my mom taught me about leaving my old toys to the less fortunate kids
Achana nao, omba Mungu usigeuke miserable halafu wakawa na couple ya mfano, utajuuuuuta kumuacha!
wanaganga kwako mzee wa njaa?Hivi Tanzania kuna mademu? Mi naona kuna waganga njaa tu.
Jamaa yako sio kabisa huyo, si ustaarabu kutembea na X wa rafiki yako.