Inaelekea na yeye sio mwanamme mwenye maamuzi yakiume,kwanza huyo si mchumba wala si mke, Kama amepoteza mahari au pesa za harusi, kama wamependana na Huyo rafiki yake wa kazini amuachie kwa Amani tu,yeye atafute mwengine mbona wamejaa tele wazuri wa sura na tabia! Huyo paka mapepe aachane nae...