Rafiki ako kumtaka demu wako

Wazabanga kuku

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
264
378
Habarini wadau,Nina rafiki angu ambae tunafanya kazi pamoja ana tabia ya kuwataka X wangu ,Sasa kuna X wangu kaomba turudiane then akaanza kunisimulia jinsi huyo rafiki angu alivyokua anamtaka huyo X wangu hadi kufikia kuanza kuniponda mimi na nlishaona msg alizokua anamtongoza ,najua demu tulishaachana lakini ni sawa kwa rafiki ako wa karibu kuamua kutoka na shemeji yake????
 
Kama rafiki yako anaweza kukupigia hata GF ukiwa mzembe, sasa mnapoachana unategemea aendelee kumuangalia tu! kwani umeambiwa huyo x-GF ni x-Video ile..
 
Tukiwa pamoja hujadili kwa pamoja ila ndani ya mioyo yetu kila mtu huwaza yake na ukikuta rafiki yako anafanya hayo yote ujue domo zege
 
Ushemeji kwani mlifunga ndoa????
Ukiacha acha kweli....yeyote atakae mchukua iwe poa tuu....

Au hutaki wachukue wenzako Kwa kukosa msimamo kwamba in future urud....
 
Kwa hiyo mkiachana haruhisiwi kua na mwingine?

Au mliekeana mkataba na mshikaji wako kua asipite unapopita wewe

Acha wivu na uchoyo mkuu, wanaume mpo wachache.
 
Habarini wadau,Nina rafiki angu ambae tunafanya kazi pamoja ana tabia ya kuwataka X wangu ,Sasa kuna X wangu kaomba turudiane then akaanza kunisimulia jinsi huyo rafiki angu alivyokua anamtaka huyo X wangu hadi kufikia kuanza kuniponda mimi na nlishaona msg alizokua anamtongoza ,najua demu tulishaachana lakini ni sawa kwa rafiki ako wa karibu kuamua kutoka na shemeji yake????
Si mliachana? Sasa unataka nn tena?
 
Acha wivu. Inawezekana wewe ndio tatizo,kuwasimulia rafiki zako mambo ya ndan ya mpenzi wako yanasababisha nae ataman kuona laivu kile ulichomsimulia.
 
Acha wivu. Inawezekana wewe ndio tatizo,kuwasimulia rafiki zako mambo ya ndan ya mpenzi wako yanasababisha nae ataman kuona laivu kile ulichomsimulia.
Uliniambia demu mkali na mtamu, nilimstahi kama shem... Umemuacha ngoja nijilie vitamu na mimi, haina ukoko
 
Habarini wadau,Nina rafiki angu ambae tunafanya kazi pamoja ana tabia ya kuwataka X wangu ,Sasa kuna X wangu kaomba turudiane then akaanza kunisimulia jinsi huyo rafiki angu alivyokua anamtaka huyo X wangu hadi kufikia kuanza kuniponda mimi na nlishaona msg alizokua anamtongoza ,najua demu tulishaachana lakini ni sawa kwa rafiki ako wa karibu kuamua kutoka na shemeji yake????
Kama mmeachana ni halali tu atoke naye akipenda
 
Kwakua ulishamuacha hakuna ubaya , kwakua uliona chanini yeye alikuwa akikitafuta … tena amekuheshimu sana maana hakumtongoza wakati upo naye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom