jamessungo
Member
- Dec 30, 2012
- 71
- 29
Kwa wale wapenz wa radio imaan hebu tune usikie siasa chambuz kuhusu mwalim nyerere na muungano
mimi huwa hata sipendi kusikiliza kabisaKwa wale wapenz wa radio imaan hebu tune usikie siasa chambuz kuhusu mwalim nyerere na muungano
Hawa jamaa wanachambua vizuri sana chambuzi zao
mimi huwa hata sipendi kusikiliza kabisa
Ukiwa kijijini mbali kabisa na mji ambako hamna shule na wewe ndio angalau uliishia form II ukapata maneno mawili matatu ya Kiingereza, basi kila utakachokisema kwa Kiingereza chako cha hovyo, kwao itakuwa sawa na bora
jamessungo : I will went to town tumoro yestadei
Wanakijiji: Anaongea 'kingeleza' safi huyu jamaa msomi sana
Nachotaka ukwambia hapa ni kwamba, unayo kila sababu ya kuona weledi kwenye uchambuzi wa Radio Imaan na hiyo ni kutokana na uwezo wako wa ulinganishaji. Lkn siku ukielimika ukapata ufahamu, hakika utatapika mara utakapofungulia Radio Imaan
Mkuu kwa ujumla redio zinazoongea upuuzi huwa sina muda wa kusikiliza na siwezi kuchambua kwa sababu siyo mdau wa kusikiliza nasikiliza redio zenye watangazaji wanaofuata maadili ya kazimwanakungumbala, great thinker wa leo! Ni vipi utachambua bila kusikiliza mwenyewe? Hatari sana kuchambua ya kusimuliwa.
Kuchambua kwa maana ya ku-analyze.
Nakujua huwapendi sababu wewe ni kati ya wale wanaomchukulia Nyerere kama MUNGU wenu na mifano yako ya Dr Shukuru wa Bagamoyo hiyo isio na mantiki !
Kwa ID yako tu, Unatamani ifungwe hata kabla ya saa 6 mchana huu ! Sikiliza Radio Maria wanaoendelea na mchakato wa kumfanya binadamu aliyezaliwa na kuua watu na kudhulumu na kila aina ya USHENZI kuwa MTAKATIFU / MWENYE HERI na mambo yao kibao lakini hawawezi kumpangia MUNGU adhabu ya kumpatia huyo Kikongwee
UDINI unao uona sasa hivi hapa Tanganyika , huyo Mzee Nyerere ndio muasisi wake ! Somaaa sanaaa uujue ukweli, Materials haya yapo sio kama Mtaala wa Kawambwaa ambao sio tangible hivi vitu vyenyewee vipo sanaa
wao kutwaaaaaa kumuongelea nyerere! hawana lingine la kudiscuss. huko aliko nyerere wala hajishughulishi nao. lakini wao kulala na kula nyerere! shame on them!
Nakujua huwapendi sababu wewe ni kati ya wale wanaomchukulia Nyerere kama MUNGU wenu na mifano yako ya Dr Shukuru wa Bagamoyo hiyo isio na mantiki !
Kwa ID yako tu, Unatamani ifungwe hata kabla ya saa 6 mchana huu ! Sikiliza Radio Maria wanaoendelea na mchakato wa kumfanya binadamu aliyezaliwa na kuua watu na kudhulumu na kila aina ya USHENZI kuwa MTAKATIFU / MWENYE HERI na mambo yao kibao lakini hawawezi kumpangia MUNGU adhabu ya kumpatia huyo Kikongwee
UDINI unao uona sasa hivi hapa Tanganyika , huyo Mzee Nyerere ndio muasisi wake ! Somaaa sanaaa uujue ukweli, Materials haya yapo sio kama Mtaala wa Kawambwaa ambao sio tangible hivi vitu vyenyewee vipo sanaa
Yani nimesikitishwa sana na uchambuzi kikubwa wakifanyacho ni kuponda wakristo na ukristo pamoja na Nyerere.
Kibaya zaidi wachambuzi ktk kipindi hicho ni wahadhiri wa chuo kikuu cha kiislamu moro