Mlete maada utakuwa huwatendei haki RADIO FREE AFRICA. Kama ingekuwa TBC1 au TBC Radio FM, hoja yako ingekuwa na mashiko, kwasababu hivyo ni vyombo vya umma vinavyoendeshwa na kodi zetu. Lakini kwa Radio free hicho ni chombo cha binafsi na kimeanzishwa kwa malengo binafsi. FYI, mmiliki wa Radio free Africa na M/kiti wa CCM wa mkoa wa Mwanza Mhe. Antony Diallo. Hii ni sawa na kuwaambia gazeti la uhuru liandike habari za upande wa pili ambao ni CDM. The best you can do kama unaona radio free Africa they are biased is to turn to another radio, na ndivyo huwa mimi nafanya.