Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
Kiweke hapa tukisikieKuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Unajua mtu unaweza kuwa kituko mpaka ukawa unajivutia dhihaka mwenyeweKuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Hawa many'angau ndio zao!, kila siku wao ni negativity na rais wetu, something which is not good kwenye ujirani mwema, good neighbourhood njema.Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Hata mti wenye Nyoka pia hauwezi kuwa salama!! Mawe yatarushwa tu, labda nyoka ashuke chini."Mti wenye matunda........"
Tuwapostie wasiojulikana waimbe nao hawawezi tuchezeaKuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini