Radio City zone na dhihaka dhidi ya Rais Magufuli

Hijja Madava

JF-Expert Member
May 14, 2014
3,296
1,929
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani

Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
 
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani

awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Kiweke hapa tukisikie
 
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani

awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini

Kwahiyo unahitaji majibu ya "kwanini' au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani

awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Unajua mtu unaweza kuwa kituko mpaka ukawa unajivutia dhihaka mwenyewe
 
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani

awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Hawa many'angau ndio zao!, kila siku wao ni negativity na rais wetu, something which is not good kwenye ujirani mwema, good neighbourhood njema.
P
 
Wakenya wanaendesha kampeni yao twitter ya kumkejeli rais, wabongo hawanaga mzuka nao hata kama wa kwao anachoma majani.

Ila wakishapigwa njaa huwa wanarudi vichwa chini wasaidiwe mahindi....mkenya akimiliki smartphone anajiona ni bonge la mjanja na kuongea kile kiingereza chenye lafudhi mbovu...
 
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya. iki quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani

awamu hii raisi wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Tuwapostie wasiojulikana waimbe nao hawawezi tuchezea
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom