Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,296
- 1,929
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini