Habari zenu wana JF.
Naomba msaada kujua ni radi gani inarusha matangazo moja kwa maja toka bungeni? nitashukuru kama mtanitajia na frequence zake.
asanteni sana
no nimekosea, i meant Radio. kama unajua nitashukuru sana, maana nataka kusikiliza bunge na umeme umekatika, so inabidi nitumie Radio
Mrembo upo nchi gani? maana frequency zinatofautiana kati ya sehemu moja na nyingine, ila baki hapa hapa JF utapata kila kitu.
asanteni 96.4 haitangazi.
basi tena ndio nimeshakosa
Habari zenu wana JF.
Naomba msaada kujua ni radio gani inarusha matangazo moja kwa maja toka bungeni? nitashukuru kama mtanitajia na frequence zake.
asanteni sana
Habari zenu wana JF.
Naomba msaada kujua ni radio gani inarusha matangazo moja kwa maja toka bungeni? nitashukuru kama mtanitajia na frequence zake.
asanteni sana
watu mna vitimbi vya kutosha....ha!Oh Mrembo, honey, baby, jaribu 105.7 FM