Wakati Tanzania ikiwa tayari kutaka kuingia vitani dhidi ya Malawi, Ile rada kuu inayotegemewa kwa mambo ya anga, mawasiliano, kijeshi na kutua kwa ndege iliyopoko Dar kwenye uwanja wa zamani wa ndege imeharibika kwa karibu mwezi mzima sasa.
Hii ndio rada iliyonunuliwa kutoka uingereza na kuzaa kashfa ya ufisadi.
Sababu kuu ya kuharibika kwake ni matatizo ya kukatikakatika umeme nchini.
Matengenezo yake yatahitaji vifaa na wataalam kutoka kwenye kampuni ileile ya uingereza uliyotuuzia rada hiyo.
SOURCE: BBC
Hii ndio rada iliyonunuliwa kutoka uingereza na kuzaa kashfa ya ufisadi.
Sababu kuu ya kuharibika kwake ni matatizo ya kukatikakatika umeme nchini.
Matengenezo yake yatahitaji vifaa na wataalam kutoka kwenye kampuni ileile ya uingereza uliyotuuzia rada hiyo.
SOURCE: BBC