Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Mrembo mwenye undugu na Miss Tz 1999 Rachel Temu ambae amekua maarufu haswa baada ya kua wanarushiana maneno sana na Mange Kimambi Leo ameumbuka vibaya mnoo baada ya kujulikana kwa akaunti yake fake inayojulikana kama KipazaSautiOriginal
Akaunti hiyo ya kipaza sauti imekua ikitumika kutukana na kudhalilisha watu wengi maarufu,akiwemo Wema Sepetu,Hamisa Mobeto,Albert Msando na wengineo ambao amekuwa akifichua siri
Inadaiwa kwamba mrembo huyo alirusha sura yake halisi kwenye insta live na ndipo watu wakaanza kumuuliza"kumbe we kipaza sauti" maana siku zote amekua akidanganya kua yuko Marekani na ameolewa na ana watoto wakati Rachel mwenyewe hajaolewa wala hana watoto.
Baada ya kuona kashtukiwa kua ndo yeye akazima haraka insta live lakini akajikuta ameshachelewaaa
..watu wameshaskrini shot sura yake na kuisambaza kwa hasimu wake Mange kimambi!
Ushauri;Pole Rachel kwa kuumbuka vibaya maana yale matusi uliyokua unatukana aiseeehhh...hufanani nayo hata kidogo..ila daah teknologia haijawahi kumuacha mtu salama..
Coffee table,Malkia wa kuchamba na wengineo mnaolipwa kutukana watu...SIKU ZENU ZA KUUMBUKA ZINAKUJA
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
Akaunti hiyo ya kipaza sauti imekua ikitumika kutukana na kudhalilisha watu wengi maarufu,akiwemo Wema Sepetu,Hamisa Mobeto,Albert Msando na wengineo ambao amekuwa akifichua siri
Inadaiwa kwamba mrembo huyo alirusha sura yake halisi kwenye insta live na ndipo watu wakaanza kumuuliza"kumbe we kipaza sauti" maana siku zote amekua akidanganya kua yuko Marekani na ameolewa na ana watoto wakati Rachel mwenyewe hajaolewa wala hana watoto.
Baada ya kuona kashtukiwa kua ndo yeye akazima haraka insta live lakini akajikuta ameshachelewaaa
..watu wameshaskrini shot sura yake na kuisambaza kwa hasimu wake Mange kimambi!
Ushauri;Pole Rachel kwa kuumbuka vibaya maana yale matusi uliyokua unatukana aiseeehhh...hufanani nayo hata kidogo..ila daah teknologia haijawahi kumuacha mtu salama..
Coffee table,Malkia wa kuchamba na wengineo mnaolipwa kutukana watu...SIKU ZENU ZA KUUMBUKA ZINAKUJA
Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app