"r'epondez s'il vous plait tena kwa wezetu usipofika kwenye hiyo shughuli huwa ni tatizo mostly ukiandaa na ww ya kwako huwa hawaji coz u didnt go(wat goes aroung)but kibongobongo wengi wanaandika bila kujua maana na hata tunaojua maana hatufanyi tunavyotakiwa kufanya,hii inasaidia hasa ktk kubudget chakula na vinjwaji sio bongo hela hatuna mavyakula tunamwaga ovyo utasema tunavyo,very bad.