Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,579
- 1,080
Ukizingatia hata shati hana...!!RIP....lakini ilikuwaje mpaka akanyeshewa hivyo na kufa?....unaweza kufafanua kidogo?
Inavyoonekana jamaa alikuwa peke yake bila msaada wa mtu yeyoteRIP....lakini ilikuwaje mpaka akanyeshewa hivyo na kufa?....unaweza kufafanua kidogo?
Inavyoonekana jamaa alikuwa peke yake bila msaada wa mtu yeyote
Mbona hiyo inatisha. Kwa kweli CCM inazidi kupoteza utu wa mtanzania. Huwa najiuliza hivi kweli nchi yangu ina viongozi wenye uchungu na watu wao? Yaani tungeuza tu shangingi moja la mkuu wa wilaya, tungeweza kupata mahema kibao ya kuhifadhia watu kwa babu. RIP kamanda, ulikuwa unapigania afya yako mpaka dkika ya mwisho. Mungu atakusamehe makosa yako kwa kuwa ameona unavyohangaika mpaka unakata pumzi