Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 485
nikiambiwa niipe maneno hiyo picha nitasema.....inaonekana alikuwa mgonjwa sana kitu kama TB hivi,na alitelekezwa na ndugu zake kwa hiyo mpaka mauti yanamkuta alikuwa peke yake
Huyo kafa kwa issue nyingine kabisa! Yaani alienda bila shati! Akina jamaa wale wenye yale makanisa yalokosa waumini!