R.I.P degree yangu

R.I.P degree yangu

Hongera kwa kumuachia Mungu ila Mungu naye anapenda ueleze ukweli kwa jamii uoga ni dhambi
 
vipi mkopo nini?
Mkuu nasmhukuru Mungu mkopo nilipata na ulinisaidia
Niko vizuri tuu ila sasa (...)
Ukikataa ule upande unaotawala kadhia zote utaziona mkuu.
Nimehama chuo sababu ya hii kitu still wanakamia tuu so nime give up...
 
Itakuwa HESLB wamemnyima mkopo. Wapo wengi tu wamepewa mikopo mwaka wa kwanza then mwaka wa pili wamenyimwa
 
Hongera kwa kumuachia Mungu ila Mungu naye anapenda ueleze ukweli kwa jamii uoga ni dhambi
Pitia nyuzi zangu za nyuma utaona malalamiko yangu. Niko open boss huwa simezei chochote kile yakinifika lazima nikuumbue tuu.
 
Back
Top Bottom