What is pharmacy? What's the impotance of pharmacists? What do pharmacists do?
Mfamasia
: Anafanya kazi kwenye drug regulatory authority kama TFDA kwa kuhakikisha dawa zinazotengenezwa na kuingizwa ni salama,zina ubora na zinafanya kazi vizuri
: Anafanya kazi hospitali kwa kutoa taarifa kuhusu dawa kwa health care professionals wengine,kutoa dawa na kuhakikisha dawa zinatumika vizuri na mgonjwa
: Anafanya kazi kwenye community pharmacy kwa kusikikiliza direct complaints na kutoa dawa zisizohitaji prescription kwa wagonjwa na kuwashauri namna nzuri ya kutumia
: Anafanya kazi kwenye academic institutions,mfano walimu pale school of pharmacy MUHAS ni wafamasia
: Anafanya kazi viwandani kutengeneza dawa,mfano pale Zenufa,Shellys,Keko na vingine kuna wafamasia wengi tu wanatengeneza dawa
: Anafanya research and development of drugs,hii ni kazi yake.Anasoma medicinial chemistry na pharmacognosy ili aweze kugundua dawa mpya.Mfano wafamasia waligundua venom ya nyigu ina anti cancer activity
Kama kuna nilizosahau mtaongezea.Mfamasia ni health care professional mwenye taarifa nyingi kuhusu dawa kuliko mwingine yoyote kuanzia nature,mechanism of action,indication,contraindication,adverse effects,drug drug interactions,food drug interactions,etc etc etc
Mfamasia ndio mshauri wa daktari(bongo a pharmacist can not prescribe) kuhusu dawa,hivyo baada ya diagnosis,dokta njoo nikupe best choices ya dawa for that particular disease
Happy pharmacist day to all (25/9/2016)