Polepole mkuu, maana tusije tukaonekaa masnichi.....kwa mwanaume si jambo la kawaida
あなたの愚かに少量であっても隠そうとしただけ....imbetishokulikopungatinmezo
labda imri unakufanya uone hivyo,muulize mzee wako,muziki enzi zao taarab ulikua mmojawapo,hata baba wa taifa anamjua na kupenda nyimbo za bi shakilahapana mwanaume na taarabu? kuna mushikeri
labda imri unakufanya uone hivyo,muulize mzee wako,muziki enzi zao taarab ulikua mmojawapo,hata baba wa taifa anamjua na kupenda nyimbo za bi shakila
Mrisho ndo kaangukia Kwa huyu Bibi? Naona Hali ya uchumi imeyumba kiasi Vijana wanatafuta ahueniKabla ya ' Kumuanika ' hapa ulishaomba ' Kibali ' kwa mwenye mali ' Mchezaji ' Mrisho Khalfan Ngassa?