Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,952
[emoji23]itakua alijidesign mwenyewe huyu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] amfukuze kazi designer wake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha naomba aniajiri[emoji23]itakua alijidesign mwenyewe huyu
[emoji23][emoji23]Kha! Huo upati aliouvaa kama mcheza sumo!
Anamuiga BeyonceNimechapia sijui ni darleen[emoji53]waii atajua munyewe....
Mwanaume hata umpe wanawake wooote wa JfAcha tamaa mkuu....vipi kuhusu FF
[emoji23]Huyo bibi kajinyea eti mbona nyuma katepeta sana?
Asee [emoji28]Mwanaume hata umpe wanawake wooote wa Jf
Bado atatamani wale FB
Wajua nakupendaaa ila unaniadaaaQueen Darleen kazidi kukaa uchi jamani!
Nguo zake zote ni mapaja njenje,hata katika press za maana anaenda hivyo hivyo.
Queen ni mkubwa sana,kaanza kuimba muziki wakati sisi wadogo zake tuko primary huko...ni vyema akabadilika.
Ni maoni tu maana mwisho wa siku maisha ni kuchagua,naye ndio maisha aliyojichagulia.
Period