Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
Katika ubora wake






waii atajua munyewe....
amfukuze kazi designer wake

![]()
![]()
![]()
amfukuze kazi designer wake
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
itakua alijidesign mwenyewe huyuHa ha ha naomba aniajiriitakua alijidesign mwenyewe huyu
Anamuiga BeyonceNimechapia sijui ni darleenwaii atajua munyewe....
Mwanaume hata umpe wanawake wooote wa JfAcha tamaa mkuu....vipi kuhusu FF
Huyo bibi kajinyea eti mbona nyuma katepeta sana?

AseeMwanaume hata umpe wanawake wooote wa Jf
Bado atatamani wale FB

Wajua nakupendaaa ila unaniadaaaQueen Darleen kazidi kukaa uchi jamani!
Nguo zake zote ni mapaja njenje,hata katika press za maana anaenda hivyo hivyo.
Queen ni mkubwa sana,kaanza kuimba muziki wakati sisi wadogo zake tuko primary huko...ni vyema akabadilika.
Ni maoni tu maana mwisho wa siku maisha ni kuchagua,naye ndio maisha aliyojichagulia.
Period
