The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
jamani leo ningependa tujadili hiki kitu
sometimes unakutana na watu wanakugusa kwa tabia zao
quality fulani ambazo pengine unatamani kuwa nazo lakini huna
au huwezi kuwa nazo.....
mfano wapo watu wana uwezo wa kusamehe hata kosa liwe kubwa vipi
wengine hawana wivu kabisa,hata akikukuta unaongea na mkewe
hamgombani kabisa....
wengine hawakasiriki kabisa hata uwafanye nini....
na kadhalika na kadhalika
sasa wewe ni quality ipi ambayo huna but ungetamani kuwa nayo???????
mimi huwa nawa admire sana watu ambao wana uwezo wa kukataaa
mwanamke mzuri kwa sababu tu yupo tayari na mwingine
tena bila kuonja....
nilikutana na dogo mmoja nikasema...
why i am not like him lol
haya nicango yenu tafadhali..........
sometimes unakutana na watu wanakugusa kwa tabia zao
quality fulani ambazo pengine unatamani kuwa nazo lakini huna
au huwezi kuwa nazo.....
mfano wapo watu wana uwezo wa kusamehe hata kosa liwe kubwa vipi
wengine hawana wivu kabisa,hata akikukuta unaongea na mkewe
hamgombani kabisa....
wengine hawakasiriki kabisa hata uwafanye nini....
na kadhalika na kadhalika
sasa wewe ni quality ipi ambayo huna but ungetamani kuwa nayo???????
mimi huwa nawa admire sana watu ambao wana uwezo wa kukataaa
mwanamke mzuri kwa sababu tu yupo tayari na mwingine
tena bila kuonja....
nilikutana na dogo mmoja nikasema...
why i am not like him lol
haya nicango yenu tafadhali..........