mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
wadau nimesikia hapa Dar kuna matatizo sana yanakuwa makubwa, kuna watu ukienda kunywa vinywaji hasa hii ilitokea Quality Centre ni kwamba unawekewa sumu katika kinywaji
namba moja mume makini mkiwa mnaletewa vinywaji popote ulipo hakikisha haijafunguliwa kabla ya kuja mezani kwako
sasa ndugu ya rafiki yangu aenisumulia kuwa kuwa jamaa yake alienda kunywa na marafiki, wanaletewa vinywaji na mara kuna watu hawawafahamu walikuja kaa karibu nao pia, ila anauakika hakunyanyuka kuacha kinywaji na ni kinywaji alichokunya aliondoka kama mtu aliyelewa sanaaaaaa akijisikia tumbo linauma, huko mbeleni alitoka kwenye gari nakuanguka na kuzimia kupelekwa hospitali ikawa ni sumu, wakaiwahi kumutibu na kumpa matibabu sasa imagine usipowahiwa ukidhani ni kuchoka au malaria etc
sasa alianza kujisikia kalewa kupita kwa drink isiyo na pombe kali moja tu aliyokunywa, akaibiwa kila kitu ndani ya pochi as alikuwa kama mtu aliyelewa na kutokujijua cha hatari sasa kumbe aliwekewa sumu bora ingekuwa kitu cha haraka waibe waondoke
naombeni muwashauri ndugu zenu na marafiki wawe makini kila mahala waendepo
nashukuru mie hata nikinyanyuka kwenda msalani nikirudi labda awe ndugu yangu nitaweka imani ila mwingine yeyote naiacha na kununua ingine
hii kitu ni hatari sana sasa
namba moja mume makini mkiwa mnaletewa vinywaji popote ulipo hakikisha haijafunguliwa kabla ya kuja mezani kwako
sasa ndugu ya rafiki yangu aenisumulia kuwa kuwa jamaa yake alienda kunywa na marafiki, wanaletewa vinywaji na mara kuna watu hawawafahamu walikuja kaa karibu nao pia, ila anauakika hakunyanyuka kuacha kinywaji na ni kinywaji alichokunya aliondoka kama mtu aliyelewa sanaaaaaa akijisikia tumbo linauma, huko mbeleni alitoka kwenye gari nakuanguka na kuzimia kupelekwa hospitali ikawa ni sumu, wakaiwahi kumutibu na kumpa matibabu sasa imagine usipowahiwa ukidhani ni kuchoka au malaria etc
sasa alianza kujisikia kalewa kupita kwa drink isiyo na pombe kali moja tu aliyokunywa, akaibiwa kila kitu ndani ya pochi as alikuwa kama mtu aliyelewa na kutokujijua cha hatari sasa kumbe aliwekewa sumu bora ingekuwa kitu cha haraka waibe waondoke
naombeni muwashauri ndugu zenu na marafiki wawe makini kila mahala waendepo
nashukuru mie hata nikinyanyuka kwenda msalani nikirudi labda awe ndugu yangu nitaweka imani ila mwingine yeyote naiacha na kununua ingine
hii kitu ni hatari sana sasa