Quality Abayas kwa bei chee

Quality Abayas kwa bei chee

Manake ingekuwa msimu wa eid i believe bei ingekuwa two times ya hii unayoipigia debe hapa,anyway tutakuungisha.
Watanzania jamani!Loooooh!
Bei ingekuwa kali ungelalamika...rahisi unaponda!
Nimekumbuka maneno ya boss wangu fulani kuwa "Usiogope kuuza bidhaa kwa bei ghali,kuna watu hawapendi bidhaa cheap...hata kama ni nzuri kiasi gani.
Kuna watu wao kununua bidhaa za bei ghali kwao ni ufahari"
Hakika aliona mbali sana.
 
Je wewe ni mwanadada unayependa kujisitiri kisasa?
Kwako mwanaume...mwenye wake/mke na hata michepuko
Haya hapa mabaibui ya kisasa...
Ni mwendo wa kujisitiri kwa mwendo kasi.
Stara sio hadi Ramadan...
Onekana mrembo ndani ya Abayah hizi za kisasa...
View attachment 375035View attachment 375036View attachment 375037View attachment 375038View attachment 375039View attachment 375041
Tunapatikana K/Koo mtaa wa Narung'ombe na Sikukuu.
Cheki nasi kupitia namba hizi 0719 714852
Bei zetu ni rahisi...everybody can afford
Only 30k (Elfu thelathini tu)!

Wapi FaizaFoxy geniveros mwasu atoto witness j Charity Diva Beyonce
Madame S farkhina

Kaka zangu Slim5 FisadiKuu mnyepe mrangi Mbulu hizi Abaya sio za kukoswa na mawifi zangu.
Karibuni sana
BTW....I wish babe aone hapa aninunulie hilo la pink jamaniiiii
Nimelipenda sana.
Ntakutafuta Nifah kwa wake zangu inshaAllah
 
Mashallah! bidhaa safi hii. Tutakuungisha in shaa Allah@ Nifah
 
Acha hizo weweeee,mbona sisi ma-model tunakimbiza ndani ya hayo mabaibui?
Ukinikuta ndani ya Abayah utaulizia huyu dada kadondoka kutoka Dubai/Oman nini?
Haha model ila usiwe pasi sana na kifua kiwe standard maana kama pasi alaf kifua kimejaa utazani unaangukia mbele..noma
 
Hapo ukiyavaa hayo madubwana lazima kikwapa kiteme tu!

No wonder😀😀😀😀😀.

LABDA hajatoka Tanga huyo,wao wananukia hata avae hilo,kama wewe nyani unaweza kujifungia ndani na usitoke
 
Watanzania jamani!Loooooh!
Bei ingekuwa kali ungelalamika...rahisi unaponda!
Nimekumbuka maneno ya boss wangu fulani kuwa "Usiogope kuuza bidhaa kwa bei ghali,kuna watu hawapendi bidhaa cheap...hata kama ni nzuri kiasi gani.
Kuna watu wao kununua bidhaa za bei ghali kwao ni ufahari"
Hakika aliona mbali sana.
Aliongea maneno hayo nadhani mwaka ja mwezi wa nne,hembu sasa hivi mkumbushie usemi wake kama hajasema ulim quote wrongly
 
Nifah swithat asante abaya nzuri sana nimezipenda Na nilivonayo mengi sjui Kwa nn hayaish ham
Hayaishi hamuuuu!
Mwenyewe nimepiga blahblah hapa japo shemeji yako aniwekee oda ya limoja...
Nikivaa mavazi ya aina hii nakuwa na amani sana.
Na najiamini mnooo,tofauti na mavazi mengine naona aibu.
 
Aliongea maneno hayo nadhani mwaka ja mwezi wa nne,hembu sasa hivi mkumbushie usemi wake kama hajasema ulim quote wrongly
Hapana...alikuwa sahihi kabisa kwa ulichokisema mwanzo.
 
Hayaishi hamuuuu!
Mwenyewe nimepiga blahblah hapa japo shemeji yako aniwekee oda ya limoja...
Nikivaa mavazi ya aina hii nakuwa na amani sana.
Na najiamini mnooo,tofauti na mavazi mengine naona aibu.
baibui n stara nzuri mavazi yoyote ya kiheshima ukivaa lazima ujiamini
 
Back
Top Bottom