St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,198
Kwahiyo wanaume wanavaa hayo madude kweli dar kumeharibika
wewe umetuchoka kweli wanaume wa DasalamuKwahiyo wanaume wanavaa hayo madude kweli dar kumeharibika
wewe umetuchoka kweli wanaume wa Dasalamu
Wooooow hongera zake.Bei rahisi sana hayo juzi ilinitoka laki 2.5 kwa Abaya 3 tu. Nilimnunulia babe![]()


.Jazakallah...Namkaribisha Wifi yangu.
Shukraan Jazeelan.
Wooooow hongera zake.
Ila ma abayah hayaishi hamu...kama mimi ninayo kibao na bado hapa nayatamani.
Sio mbaya ukimuongeza matatu tena.
Yeah...bei rahisi sana.
Hii ni bei ya kiwandani/jumla.
Nikimwambia atayataka kweli lakini kunitoka laki 100,000 sasahivi mmhh ngoja nifikirie kwanza.
Uwezo wa kutafakari unapishana sana, ila kama huo ndo uwezo wako wa mwisho hatuna cha kukupa ila pole.Nimemuona "mrembo" wa Trump kivazi chake kiko poa zaidi ya haya madude nadhani yanatoka KANO kwa boko haramu.
Ilikuwa mzigo wa eid, ukachelewa kutoka nn.Je wewe ni mwanadada unayependa kujisitiri kisasa?
Kwako mwanaume...mwenye wake/mke na hata michepuko
Haya hapa mabaibui ya kisasa...
Ni mwendo wa kujisitiri kwa mwendo kasi.
Stara sio hadi Ramadan...
Onekana mrembo ndani ya Abayah hizi za kisasa...
View attachment 375035View attachment 375036View attachment 375037View attachment 375038View attachment 375039View attachment 375041
Tunapatikana K/Koo mtaa wa Narung'ombe na Sikukuu.
Cheki nasi kupitia namba hizi 0719 714852
Bei zetu ni rahisi...everybody can afford
Only 30k (Elfu thelathini tu)!
Wapi FaizaFoxy geniveros mwasu atoto witness j Charity Diva Beyonce
Madame S farkhina
Kaka zangu Slim5 FisadiKuu mnyepe mrangi Mbulu hizi Abaya sio za kukoswa na mawifi zangu.
Karibuni sana
BTW....I wish babe aone hapa aninunulie hilo la pink jamaniiiii
Nimelipenda sana.![]()
hayatoi malengelenge,usiogope!!.🙂 teena. Maana isije kuwa fundi Juma mambo ya polyester na jua la Dar si tutaungua 🙂.
Manake ingekuwa msimu wa eid i believe bei ingekuwa two times ya hii unayoipigia debe hapa,anyway tutakuungisha.
Hadi nimepaliwa kwa kicheko.
Hapana mkuu,mzigo mpya huo umefunguliwa leo.