luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Asalam wanajamvi
Nimejaribu kufunuafunua baadhi ya website za TRA na kukutana na hii kitu,
EEA and JAAI inspection must be done in Japan before importing the car to Tanzania
napata kigugumizi kwenye kuelewa hili jedwali,..
Naomba msaada wenu kwa mwenye uelewa, Je nikihitaji kuagiza gari lenye CC 2000 la mwaka 2004 with CIF price of US$ 7500,ni kiasi gani nitakachotozwa kwa ujumla na mamlaka ya mapato..
Msaada please,its urgent.
Nimejaribu kufunuafunua baadhi ya website za TRA na kukutana na hii kitu,
EEA and JAAI inspection must be done in Japan before importing the car to Tanzania
TAX RATES | |||||
C.C | Import Duty | Excise duty | Extra Depreciation duty | VAT | Depreciation duty (2002yr) |
0-1000 | 25% | - | 20% | 18% | 75% |
1001-2000 | 25% | 5% | 20% | 18% | 75% |
2001 and above | 25% | 10% | 20% | 18% | 75% |
Pick ups | 25% | 0% | 0% | 18% | 75% |
Trucks(5tons-18.5tons) | 10% | 0% | 0% | 18% | 75% |
Trucks(above 18.5tons) | 0% | 0% | 0% | 18% | 75% |
Tractors (trucks for pulling semi-trailers) | 0% | 0% | 0% | 18% | 75% |
Buses (from 10 passengers) | 25% | 0% | 0% | 18% | 75% |
Land cruiser Hard tops carrying from 10 passengers | 25% | 0% | 0% | 20% | 75% |
napata kigugumizi kwenye kuelewa hili jedwali,..
Naomba msaada wenu kwa mwenye uelewa, Je nikihitaji kuagiza gari lenye CC 2000 la mwaka 2004 with CIF price of US$ 7500,ni kiasi gani nitakachotozwa kwa ujumla na mamlaka ya mapato..
Msaada please,its urgent.