dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,425
By the way hayakuwa mabomu; zilikuwa baruti tu; vichwa vyenyewe vya maangamizi havikuwepo pale inavyodaiwa.Pale gongolamboto Kuna mwaka yalilipuka mabomu ya JWTZ ...baadhi ya watanzania kwa hofu kubwa walikimbia Hadi Chalinze...sauti ya mlipuko wa mabomu hayo ni wa kawaida Sana, kuliko hayo ya hypersonic ya Russia...
Pale gongolamboto watu wengi walikimbia na kuacha watoto wao ambao baadaye walikusanywa pale uwanja wa taifa shamba la bibi na wazazi wakaja kuwatambua...