Putin kafumua mshono tena

Putin kafumua mshono tena

Juzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa hewa ambayo inapuliza kila kilichokaribu yake na kukisambaratisha. Nitashea video hapa ikikubali ku uploadView attachment 2706575
Machizi wenzako watakuamini!!!!! Umepata faida gani baada ya kudanganya?????????????????? Au ndiyo tuna wasomi wajinga??????????????



How tons of ammonium nitrate were stranded in Beirut port ...​



5 Aug 2020 — Tuesday's massive explosion, which rocked the capital, left at least 135 dead and 5,000 injured. On Wednesday, Lebanese Information Minister ...

CNN.com/05 Aug/ 2020

How a Massive Bomb Came Together in Beirut's Port​


9 Sept 2020 — An initial explosion sends a smoky mix of partially combusted ammonium nitrate into the sky, an inefficient blast that suggests “that it ...


The New York Times:09 /Sept/ 2020


Nb: Tujifunze kudadisi!!!!!!!!!!!!!

Nb:Tukumbuke, Wajinga wanamiliki hela, simu,magari, nyumba,kompyuta n.k!!!!!!!!!!!!!
 
Juzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa hewa ambayo inapuliza kila kilichokaribu yake na kukisambaratisha. Nitashea video hapa ikikubali ku uploadView attachment 2706575
UONGO MKUBWA HII VIDEO NI YA BEIRUT PALE BANDARINI KWAO BAADA YA KUTUNZA KEMIKALI YA MBOLEA VIBAYA
 
Juzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa hewa ambayo inapuliza kila kilichokaribu yake na kukisambaratisha. Nitashea video hapa ikikubali ku uploadView attachment 2706575
Sidhani!!! Hili ni tukio la Lebanon, wakati ghala la mbolea lilipo lipuka
 
Tunapo sema Vijana wengi wanao shabikia Urusi kweny hii vita ni wendawazim hua mnatuona tuna waonea sasa ona ZUZU hili lime okota video uko mtandaoni likazani humu wote ni wajinga wajinga wapuuzi kama ProRussian wengine

video ni ya mlipuko ulio tokea Beirut we una husisha na Ukraine
Pathetic

Hawa watu sijui ni ujinga au ukosefu wa akili na maarifa au ni kujiyoa ufahamu.

Yaani ajali imetokea Beirut, jitu zima linaamua kuwadanganya watu likijua watu hawana maarifa.

Mods ondoeni hii thread kwa sababu ni uwongo uliotengenezwa na mtu mmoja ambaye hastahili kuwemo JF. Na ikiwezekana mpeni adhabu ili kupeleka ujumbe kuwa JF siyo mahali pa kufanyia umbea.
 
Juzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa hewa ambayo inapuliza kila kilichokaribu yake na kukisambaratisha. Nitashea video hapa ikikubali ku uploadView attachment 2706575
Mnaanza kuokoteza video za Beirut.
Yaani hata kinachoongelewa kwenye hiyo video haukielewi. Kweli kazi mnayo.

Hata silaha zinavyosafirishwa na kuingizwa Ukraine haujui zinasafirishwaje.
 
Hizi Putin anajua kwamba hatuna mafuta huku yamepanda bei
 
Hiyo bandari ingekuwa wamepewa DP World sijui mambo yangekuwa vipi.
 
Hawa watu sijui ni ujinga au ukosefu wa akili na maarifa au ni kujiyoa ufahamu.

Yaani ajali imetokea Beirut, jitu zima linaamua kuwadanganya watu likijua watu hawana maarifa.

Mods ondoeni hii thread kwa sababu ni uwongo uliotengenezwa na mtu mmoja ambaye hastahili kuwemo JF. Na ikiwezekana mpeni adhabu ili kupeleka ujumbe kuwa JF siyo mahali pa kufanyia umbea.
Yaani hii thread bado ipo pamoja na kuwa proved wrong na aliyeileta bado yupo hai?
 
Back
Top Bottom