Mwambawetu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,385
- 34,369
Master wa ku musterbate.Putin ni master
Master wa ku musterbate.Putin ni master
Tunapo sema Vijana wengi wanao shabikia Urusi kweny hii vita ni wendawazim hua mnatuona tuna waonea sasa ona ZUZU hili lime okota video uko mtandaoni likazani humu wote ni wajinga wajinga wapuuzi kama ProRussian wengine
video ni ya mlipuko ulio tokea Beirut we una husisha na Ukraine
Pathetic
Hizi ndio ng'ombe zinazpsambaza taarifa za uongo mitandaoni.Juzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa hewa ambayo inapuliza kila kilichokaribu yake na kukisambaratisha. Nitashea video hapa ikikubali ku upload.
View attachment 2706575
Umeingizwa king ukajaa mazima, hiyo ni video ya uongo.Hio ndio Lugha mabeberu wanayoelewa. kp kipanya44 Proved
Tuliza kijambio wanaume wapo kaziniMaster wa ujinga.
Pro Russia wengi kama si wote ni kama manyumbu mkuu.
Niliwazarau siku moja kuna mpumbavu mwenzao alileta uzi Putin katua South Africa kwenye kikao cha Brics na wote wakajazana kushangalia.
Tuliza kijambio wanaume wapo kazini
Lebanon hapo mbona na sio OdesaJuzi meli ya uingereza imelipuliwa ikiwa inashusha silaha badari ya odesa. Yameshushwa mabom 4 ya kilo haswa. Kwa video nlivtoona hayo mabom sijui ni aina gani maana ni kama limelipuka ila linatoa hewa ambayo inapuliza kila kilichokaribu yake na kukisambaratisha. Nitashea video hapa ikikubali ku upload.
View attachment 2706575



Hajui kitu huyoHuu ni mlipuko wa baruti aina ya ammonium nitrate huko Beirut
Mkiambiwa akili mnachukiaUK wamezidi umbeya acha tuond Article 5 itafanya nini.