Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,513
- 8,276
- Thread starter
- #41
usuper power huwa ni kilemba cha ukoka tu,
marekani alikuwa superpower miaka ya 60,lakini walipigwa na wavietcong mpaka wakaondoka saigon kwa kuokolewa na helcopiter,huo usuper umeshindwa hata kuwatokomeza Taliban kikundi kinachopewa silaha na saud,
kiuchumi sawa ni superpower na hiyo ni kwasababu alimudu kuishawishi dunia itumie dollar katika biashara za kimataifa.
Marekani ana jeshi kubwa na lenye silaha za kisasa,lakini kila silaha aliyonayo mmarekani,mrusi nae anayo,
wakati marekan anamzidi mrusi kwa idadi ya ndege na manowari za kivita,mrusi anamzidi mmarekan kwa idadi ya makombora na vifaru,
lakini iwapo itatokea vita kati ya marekani na russia,ndege zitakuwa uselless,wala vifaru havitasaidia kitu,itakuwa ni vita vya makombora na japokuwa russia anaizidi marekani kwa idadi ya makombora lakini wote wataathirika na vita vitadumu kwa masaa yasiyozidi matano tu
hiv barcelona kufungwa na valencia, r.madrid kufungwa na gatafe, b.munich kufungwa na schake 04 inaondoa kuzitambua kwamba ni football club zenye nguvu zaidi?! acha ubishi wa kipuuzi sawa ee