matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,462
- 23,246
Tukio la Drone za Ukraine kuteketeza madege ya thamani ya trillions za shilingi, Tena madege yaliyo ndani kabisa mwa Urusi ni tishio kuu ambalo likipuuzwa litakalofuata litavuja UTI wa magongo wa Jeshi la Russia.
Hivi juzi nimesoma mamia ya document zenye picha na taarifa nyeti za Siri za urusi za Maficho yote ya silaha ZAO za Nyuklia na ramani ya namna ya kufika zimevuja KWA West. Sasa wanaweza kuwasuprise zaidi.
Juzijuzi ndege ya Rais wa Urusi Putin akiwemo imenusulika kudunguliwa na drones za Ukraine. Hii inaonyesha hata Putin anaishi KWA sababu za kisiasa tu Kijeshi wakiamua Ukraine wanamuondoa.
FSB wanadhalilishwa kuonekana hawawezi kazi na Russia yote Iko uchi KWA mataifa pinzani ni wao tu kuamua waanze na nani na wapi.
Sasa ni hakika Putin akiendelea kupuuza kumshikisha adabu Zelenski na kutengua kabisa UTI wa magongo wa operations za Jeshi la Ukraine na Intelijensia yake na wanaowapa kichwa nchi ya Russia italemazwa kabisa kijeshi.
Binafsi nimesikitishwa sana kuona midege ya thamani ikiteketea utadhani kuni. Hii inaonyesha Sasa Ukraine inaweza kufanya chochote ndani ya Russia hata kuivuruga na kuiangisha kabisa KWA msaada wa west.
Ni hayo tu
Hivi juzi nimesoma mamia ya document zenye picha na taarifa nyeti za Siri za urusi za Maficho yote ya silaha ZAO za Nyuklia na ramani ya namna ya kufika zimevuja KWA West. Sasa wanaweza kuwasuprise zaidi.
Juzijuzi ndege ya Rais wa Urusi Putin akiwemo imenusulika kudunguliwa na drones za Ukraine. Hii inaonyesha hata Putin anaishi KWA sababu za kisiasa tu Kijeshi wakiamua Ukraine wanamuondoa.
FSB wanadhalilishwa kuonekana hawawezi kazi na Russia yote Iko uchi KWA mataifa pinzani ni wao tu kuamua waanze na nani na wapi.
Sasa ni hakika Putin akiendelea kupuuza kumshikisha adabu Zelenski na kutengua kabisa UTI wa magongo wa operations za Jeshi la Ukraine na Intelijensia yake na wanaowapa kichwa nchi ya Russia italemazwa kabisa kijeshi.
Binafsi nimesikitishwa sana kuona midege ya thamani ikiteketea utadhani kuni. Hii inaonyesha Sasa Ukraine inaweza kufanya chochote ndani ya Russia hata kuivuruga na kuiangisha kabisa KWA msaada wa west.
Ni hayo tu