Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,891
- 20,128
Huyu sijui atakua ni mjomba wakeNdio,ndugu yake vladmir yovyhenko,ukoo wao mkubwa sana
Huyu sijui atakua ni mjomba wakeNdio,ndugu yake vladmir yovyhenko,ukoo wao mkubwa sana
Hahah nimekumbuka story yake moja hivi anahadithia aliyoyaona huko North Korea wkt story yote iko QUORA.COMmzee wa kugoogle. Huko Tandale kwenye chumba cha kupanga lakini utasikia niko urus
Ni sawa sawa na kusema hivi Christian Ronaldo na Ronaldo de lima ni mtu na mjomba wake?Naomba kuuliza,huyu Vladimir Putin ndo mjukuu wa Vladimir Lenin au!!!!
Safi sana Kaka,tupe nyuma zaidi ili nasi tuufahamu ukweli kuhusu hili sakata la CrimeaP
Putin angezubaa kidogo sakata la Ukraine Urusi ingepata shida. Aliwaweza magharibi kwa kuirudisha Crimea.
Duh atupe nyuma zaidiSafi sana Kaka,tupe nyuma zaidi ili nasi tuufahamu ukweli kuhusu hili sakata la Crimea
Nalog off
Bado Majimbo Ya Rohansik Na Dornesk na yenyewe wakijisikia wanajinyakulia tu
ndio haohao mkuuHuyu sijui atakua ni mjomba wake View attachment 778737
Dah! Aisee ni typing error mkuu,nilimaanisha atupe nyama zaidiDuh atupe nyuma zaidi
Yupo poa sana huyu rais,hivi ina maana CIA hawaku ng'amua hata kidogo huo mpango wakeP
Putin angezubaa kidogo sakata la Ukraine Urusi ingepata shida. Aliwaweza magharibi kwa kuirudisha Crimea.
Yupo poa sana huyu rais,hivi ina maana CIA hawaku ng'amua hata kidogo huo mpango wake
warusi wapo kimkakati sana na ndio maana walimshinda Hitler vita vya pili vya dunia