Putin afanya kweli

Putin afanya kweli

Kibumbula

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2018
Posts
3,690
Reaction score
3,382
Hatimaye rais wa Urusi, bwana Putin afungua daraja linaloziunganisha Crimea na Urusi bara lenye urefu wa km 19 na ambalo ni refu zaidi barani ulaya kwa kutumia kamaz truck kuvuka kwenye daraja hilo. Duuu. Yangu macho na masikio.
DdPFPnPWsAMopqD.jpg
 
Back
Top Bottom