Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ila sio fair, mbona kuna Bands ni freaks na wanamtukana mpaka papa mfano 'CRADLE OF FILTH' walikuwa wamefanya live show inaitwa 'jesus is c*nt lakini wameachwa? Kuna msanii aliyechukua tuzo mwaka jana kwa kuwa msanii freak kuliko wote, anaitwa Marlin Manson na katika show zake anatukana dini, kuna nudes, anachana vitabu vya dini ila hawajamfanya kitu? Kisa hao Pussy Riot jioni ya show yao walisema hiyo show ni 'prayer to mother marry'! Bendi nyingi hazipendi kwenda Russia maana kule dini = siasa.
Na ndio maana nakuambia kuwa makao makuu Kanisa lao kuu lipo ndani ya Ikulu ya Urusi na ndio Putin na Medivedev wanaposali